Tangu kuzinduliwa kwake mwishoni mwa Novemba 2022, teknolojia ya akili bandia ya ChatGPT, inayotumia akili ya bandia (AI) kujibu maswali au kuunda ujumbe unapohitajika kutoka kwa watumiaji, imekuwa ...
Teknolojia ya intaneti inayowezeshwa kwa maputo kutoka kwa kampuni dada ya mawasiliano ya Google inayofahamika kama Loon imezinduliwa rasmi nchini Kenya na itawezesha upatikanaji wa mtandao katika ...
Tawala za kimabavu katika nchi za Mashariki ya Kati hutumia utambulisho ulioboreshwa kwa kutumia vifaa vya akili bandia vya kibaiometriki kuwafuata wapinzani wao. Mnamo mwezi Mei mwaka huu, Khalaf ...
Serikali ya Ujerumani na Tanzania kwa pamoja zimezindua wiki ya ubinifu wa Teknolojia ya Kijani kwa lengo la kuimarisha usimamizi wa maji na majitaka kwa kutumia teknolojia. Wiki ya ubunifu wa ...
Bara la Afrika linasalia kua bara linalokua katika matumizi ya teknolojia katika michezo. Hata hivyo hivi karibuni michuano mingi ya shirikisho la soka barani Afrika CAF kama vile AFCON imeonekana ...
Katika Taasisi ya Ujuzi ya Maendeleo ya Kazi- UICD- iliyoko Mashariki mwa jiji la Nairobi,nchini Kenya vijana wanajifunza ubunifu mbalimbali kwa kutumia Teknolojia ya Akili mnemba yaani artificial ...